Wizara ya Biashara na Maendeleo ya Viwanda

Baraza la Ushindani Halali wa Biashara

"Zinduka !!! Rufaa ni haki ya Mfanyabiashara na Mtumiaji wa Huduma na Bidhaa”

Competiton Appeal Management System

Maadili ya Msingi ya Baraza

ZFCT inadumisha na kutekeleza dhamira yake na utawala bora kwa kufuata maadili makuu sita yafuatayo:

Haki kwa wakati unaofaa

Ufanisi na Tija

Uadilifu na Heshima

Usawa na Uhuru

Ushirikiano

Uwazi

Karibu Baraza la Ushindani Halali wa Biashara

Mwenyekiti, Wajumbe, Menejimenti na Wafanyakazi wa Mahakama ya Ushindani Zanzibar (ZFCT) Wanapenda Kuwakaribisha Nyote Katika Tovuti Hii. ZFCT Ni Chombo Cha Kusikiliza Maamuzi ya Taasisi za Udhibiti Ikiwemo ZFCC, ZURA, ZMA, ZBS na Nyingine za Udhibiti.

Ni Chombo Maalumu Miongoni mwa Taasisi Mahususi Zilizoundwa Kuzuia Vitendo Vinavyokwenda Kinyume na Kuathiri Ushindani wa Biashara na Kulinda Mtumiaji wa Bidhaa na Huduma. ZFCT Ilianza Kutokana na Kuwepo kwa Tume ya Ushindani wa Haki Zanzibar.

Tovuti Hii Inalenga Kufahamisha Na Kuelimisha Umma Kuhusu Shughuli Zinazofanywa Na ZFCT. Ni Imani Yetu Kuwa Tovuti Hii Itakuwa Muhimu Kwa Wageni Wetu.

Karibu sana!

Washirika Wetu

Scroll to Top

example.com

example2.com

example3.com