Wizara ya Biashara na Maendeleo ya Viwanda

Baraza la Ushindani Halali wa Biashara

"Zinduka !!! Rufaa ni haki ya Mfanyabiashara na Mtumiaji wa Huduma na Bidhaa”

Kuhusu Sisi

Ujumbe wa Mrajis

Kwa niaba ya watumishi wote na menejimenti ya ZFCT tunawaahidi wadau wetu wakiwemo Wawekezaji, Wajasiriamali na Watumiaji wa bidhaa na huduma kuwapatia huduma bora kwa kushughulikia kwa kina rufaa na maombi yaliyowasilishwa katika ofisi za Baraza.

Fatma Gharib Haji

Mrajis

Baraza la Ushindani Halali wa Biashara

ZANZIBAR

Scroll to Top

example.com

example2.com

example3.com